Home » News & Politics » Corona yaingia Kenya

Corona yaingia Kenya

Written By Citizen TV Kenya on Friday, Mar 13, 2020 | 12:08 PM

 
Kisa cha kwanza cha virusi vya Corona kimeripotiwa nchini Kenya na kusababisha hofu. Waziri wa afya Mutahi Kagwe akitangaza kuwa kisa hicho kilithibitishwa hapo jana baada ya mgonjwa huyo kufika hospitalini tarehe tisa kupata matibabu alipoonyesha dalili za virusi hivyo. Na kama anavyoarifu Chemutai Goin, watu saba waliotagusana na mgonjwa huyo wametengwa kwa uchunguzi zaidi.