Home » Entertainment » Jerry Murro atema cheche kwa viongozi wa TTF, afunguka kutemwa Yanga

Jerry Murro atema cheche kwa viongozi wa TTF, afunguka kutemwa Yanga

Written By Bongo5 on Tuesday, Jul 18, 2017 | 12:59 PM

 
Aliyekuwa msemaji wa klabu ya Yanga, Jerry Murro amefunguka mambo mbalimbali kuhusu uongozi wa soka nchini TFF pamoja na sakata la nafasi yake ndani ya klabu ya Yangu kuchukuliwa na mtg mwingine.